×

Habari za UN's video: Tulikotoka ni moto na huku ni moto tusaidieni

@Tulikotoka ni 'moto' na huku ni 'moto', tusaidieni!
Kufuatia kuwepo kwa ripoti za ubakaji na biashara ya ngono kwenye kambi za wakimbizi wa ndani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, Naibu Mwakilishi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini humo ambaye pia ni Mratibu wa masuala ya kibinadamu Bruno Lemarquis ameongoza ujumbe wa mabalozi kutoka nchi za nje kwenye ziara katika moja ya kambi hizo huko Kivu Kaskazini kukutana na wakimbizi. Shuhuda wetu ni Byobe Malenga, mwandishi wa Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa nchini DRC.

5

1
Habari za UN
Subscribers
46.9K
Total Post
3.1K
Total Views
70.5K
Avg. Views
592.3
View Profile
This video was published on 2023-05-17 00:01:13 GMT by @Habari-za-UN on Youtube. Habari za UN has total 46.9K subscribers on Youtube and has a total of 3.1K video.This video has received 5 Likes which are lower than the average likes that Habari za UN gets . @Habari-za-UN receives an average views of 592.3 per video on Youtube.This video has received 1 comments which are higher than the average comments that Habari za UN gets . Overall the views for this video was lower than the average for the profile.Habari za UN #HabarizaUN #UmojawaMataifa #Kiswahili #UNNewsKiswahili Kufuatia has been used frequently in this Post.

Other post by @Habari za UN